@Pratnumzsimba4 years agoWe roma kaa huko tu si tunataka ngoma 2. 2
@
@TheLugiko4 years agoAcha ubishi, roma kaweka michano ya kinyama sana! 2
@
@o.o.80744 years agoWale wa kuskiza wakiscroll comments wako wapi? Drop like hapa kazi nzuri roma. 15
@
@mtukufusafari55354 years agoWimbo mzima nimependa roma anavyochana 2. 1
@
@wizyjunior57714 years agoKazi ipo fresh kizazi sana the magic atraction roma. 2
@
@kisakeniabdi4454 years agoFrom kenyaa +254 romaa nlikuwa nangoja ya corona kama rostam bha aa. 1
@
@brigeddiageneral37594 years agoKama kawa mkubwa wangu roma katisha tena. 1
@
@frankbenard56784 years agoTunao sikiliza hili goma mpaka tunasahau kama kuna corona like zenyu hapa. 2
@
@alexsimoni42774 years agoNaitaji kupata ngoma nzima ya roma akiimba hivi.
@
@hamismagafu37554 years agoWangapi tumetega maskio huku osha mikono kipindi hiki cha corona. 1
@
@khamisjuma97024 years agoDah nime miss your voice kkt yaan toa kigongo kimoja about covid 19 cause hao wabana pua hatuwafahamu by anaab 21 from zanzibar. 1
@
@mklarazaa7194 years agoVipi wote tuki subscribed kumsupport huyu mwamba hadi afike milioni subscribed. 5
@
@innocentbryson30114 years agoSema roma umechana ki mbele zaidi sema goma linaamsha amsha. 5
@
@msemakwelitv23764 years ago255 presenter big san mzee baba bongo ya covid-19 tunapambana nayo ila tunasubir ngoma moja ya corona kutoka kwako huenda wataelimika tena waleee. 2
@
@ibrahimkyama50554 years agoRoma jembe msee mm nakubali kazi zako bro. Wale wa roma ooya iyee.
@
@denisimaliyaweni91834 years agoNgoma kali lakn tupo bize na corona aisee, hata muda wa kuckiliza hatuna tunaweka bado kwa ajili ya kupata habr mpya ya covid-19.
@
@yohanaadam6204 years agoBonge la goma roma fundi nakuelewa mno. 1
@
@dayranngoteone38264 years agoRomaa utareta dini zote ila rc itabaki.
@
@rajabukanuni46234 years agoMwanangu karudy like zakutosha wanangu.
@
@maishacenter-eastafricatv39764 years agoTulihitaji sana collabo ya na roma sasa imepatikana, roma karibu +257, love more. 3
@
@ibrahamkalu90694 years agoUsisahau kumsabscrabia na kugonga kengele. 1
@
@irambonaericwamakamba66594 years agoSong iko vizuli kama vile mlisomea mziki tu nipo gonga like kama unawak ubali ..8
@
@chrissbreezy65404 years agoWapi likes za baba la baba roma 2030 from 254.
@
@merickmahamba40924 years agoGuys fromkagera tz gonga likes kwa roma akee.
@
@linwarutaarustaw75084 years agoSo then we have combined with eg' gafant uh rising up fields of gold and ohm' s all around nuun in& 3 we won the valley of the wind back and all the ohm' s are not furious. ...Expand4
@
@xembogasd17254 years agoWasanii tunaowapenda mbona hawana views nyingi.
@
@kirupyseleman5824 years agoBr inster umeirudisha sawa asa mbna imekua ngumu kupat connetion zako kama aliyekua anatumia? 1
@
@elibarikikivuyo59464 years agoNgoma imetulia viva roma! Sema da tunawaza corona tu! 1
@
@ladislausmilagiro90874 years agoAti urukundo sugwambaro ndatwenze cane hano. 4
@
@yasinamiri76494 years agoRoma i know you never lose in music tanzania hip hop. 2
@
@SIMULIZIZONE4 years agoKama unapenda simulizi za kihistoria karibu kwenye channel yetu.
@
@bamztvonline99054 years agoNaomba support yenu link hiyo apo kaichek kaz yangu mpya Artist : Ommy Bamz Song : Inama Graphics : JdK Graphi class="buttons">cs Producer : wizzykeyzy .....Expand2
@
@officialswagamilionea4 years agoLets go! I like it, Yakisasa Bonyeza like Kama unamkubali ROMA weweeeee 3
@
@johnnytravo4 years agoTusipuuze hii ni hatarishi sana tuwe macho ndugu
@
@kingfocustzog4 years agoBoss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi: secretary: boss boss akabaki anashangaa baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na secretary wake. akarudi mpaka kwa secretary na mazungumzo yakaendelea: boss: bibie ulivyoona geti wazi je uliona prado v8 langu lime paki ndani? secretary: hapana boss niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili yaliyoisha upepo! saizi sekretari anakabidhi mafaili nadhani anapelekwa ulaya . ...Expand32
@
@bamztvonline99054 years agoArtist : Ommy Bamz Song : Inama Graphics : JdK Graphics Producer : wizzykeyzy .....Expand
Related videos for AB Nabil feat ROMA - Down Low (Official Video):
like apa kwa mrundi wetu ab nabil. 41
like hapa twende sawa kama unamkubali roma. 15
kazi nzuri roma. 15
uh rising up fields of gold and ohm' s all around nuun in& 3 we won the valley of the wind back and all the ohm' s are not furious. ...Expand 4Artist : Ommy Bamz
Song : Inama
Graphics : JdK Graphi class="buttons">cs
Producer : wizzykeyzy
.. ...Expand 2
secretary: boss boss akabaki anashangaa baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na secretary wake.
akarudi mpaka kwa secretary na mazungumzo yakaendelea:
boss: bibie ulivyoona geti wazi je uliona prado v8 langu lime paki ndani?
secretary: hapana boss niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili yaliyoisha upepo!
saizi sekretari anakabidhi mafaili nadhani anapelekwa ulaya
. ...Expand 32
Song : Inama
Graphics : JdK Graphics
Producer : wizzy keyzy
.. ...Expand