@letshikuku394 years agoHongereni sn wazanzibar mungu awatangulie kwa hili tupo pamoja tunawapenda sn. From dsm. 1
@
@nassormussa40904 years agoWaaawaa! Yesu wa zenzi huyo karibu mungu mama kule tz yupo mungu baba hapa tena wapinzani wasahau kwani miungu miwili ikikutana ni ushindi tu miujiza id="hidden1" mitupu na tunaamini hapa mpaka2035 kazi tu hao wapemba watabaki vinywa wazi sasa ni wakati wa kupata baraka kutoka kwa hawa mungu wetu mkitaka kushindana na cc hamtuwezi. ...Expand
@
@amanimkambala62404 years agoApo ingekuwa msafala wa maalim sefu vituo vingejaa na kes zisizokuw na kichw wala mguu. 10
@
@azmiabdallaazmi59314 years agoHizo shangwe tu subirini 25/10/2020 ndio siku ya majubu. 2
@
@peterkailembo41014 years agoMimi ni magu tu hapa kanipa hamasa ya kuipigia kura ccm. 3
@
@hilalhilal84004 years agoHawa ni vikosi tu vya smz. Hakuna ccm hapo. Wakimaliza ajira kisanduku kwa act. 2
@
@elibarikikivuyo59464 years agoHapa angekuwa mpinzani maajabu ingeonekana mbona sioni watu hapo. 2
@
@richboy10414 years agoNje wanakata viono alafu ndn wanaomba dua km so uchoko huu achen uhun ccm.
@
@sirjunior18174 years agoHamjui kuna corona nyinyi muache huu mchezo. 1
@
@marthaemmanuel33234 years agoKwan zanzibar haina watu jaman mbona wachache sana. 2
@
@zubeirsalum1284 years agoVipi raisi mstaafu amani karume naona ww hujavaa kijani. 1
@
@janeobure18594 years agoWapinzani wakifanya hiv tu ni kesi lakin kwa ccm ni ruksa. 3
@
@pachamalota44554 years agoWamekosea kumtia kwenye gari ambayo haina paa ya kufunuka. 1
@
@hilalhilal84004 years agoSasa na hawa polisi vipi baada kuwakamata wachochezi ndio kwanza wanawalinda hawa ccm wachochezi. 3
@
@moussadjanffar19004 years agoIci 6 lits que comprend mot diana tu as coup les canadairs cagny babou il y aura mini fois quoi comores ligne 3 na combien quoi mon cool choco on doit couper racine game c' est cool l o c' est quoi.
@
@francisfarayo79034 years agoMpinzani ajaribu hicho! Vituo vitajaa kesi ya uchochezi. 9
@
@tamemahmad99024 years agoNaona mh. Amani hajavaa sare ya ccm kisha peke yake kavaa barakoa au corona imeisha huko?
@
@alesnema95964 years agoUyu anapoteza muda tu magufuri baba lawo wara hatutachaguwa tunamupa tu. 1
@
@saidmohd50904 years agoAma kwel ssa hatuna tena letu zanbar kuwa ssa rais anatoka bara kuja kuwa uraisi zanbar janani wazanbar tumefumbwa macho bado hatujaamka.
@
@janeobure18594 years agoCcm hata wakiweka mtoto wa kikwete kuwa rais watashangilia tu yaani hiki chama kitajimaliza chenyewe. Watu wamerudia usultan. Endeleeni kujimaliza.
@
@ms.independent89344 years agoHapo shkamo hapitii ghoo ata ambulia mafuwa.
@
@ms.independent89344 years agoMwinyi anapeta kwakishindo kwenye kura. 2
@
@khamisnassor58334 years agoTutakapo mpokea wetu mseme maandamano au uchochezi au amani itavunjika police hawatoshi. 1
@
@aminaabdallah77024 years agoAkichaguliwa yatengenezrme maghorofa yamzee karume ple mtaani wakisiwadui. Japo yameuzwa ili mtaa yupendeze.
@
@shibilitimedia33124 years agoNaomba kwa anaejuwa kufumbua kauli ya mheshimiwa rais magufuri ambayo mwandishi ameeleza kwamba alisema " naomba wazanzibar mnichagulie mtu ambae nikifika stamwamkia " tafsri yake niipi msaada sjaelewa. 1
@
@nassormussa40904 years agoWaaawaa! Yesu wa zenzi huyo karibu mungu mama kule tz yupo mungu baba hapa tena wapinzani wasahau kwani miungu miwili ikikutana ni ushindi tu miujiza id="hidden4" mitupu na tunaamini hapa mpaka2035 kazi tu hao wapemba watabaki vinywa wazi sasa ni wakati wa kupata baraka kutoka kwa hawa mungu wetu mkitaka kushindana na cc hamtuwezi. ...Expand
Related videos for MAELFU YA WATU WALIVYOMPOKEA DR HUSSEIN MWINYI MGOMBEA URAIS ZANZIBAR: