Miongoni mwa matukio ambayo huwenda hukuwahi kuyafahamu ni pamoja na hii kutoka kwa staa wa uchekeshaji na Bongo fleva Jackson Supakila Maarufu kama Mkali Wenu ambaye amefunguka mbele ya camera ya Ayo TV kuhusu baadhi ya matukio aliyowahi kuyapitia kabla ya kuwa maarufu ikiwemo tukio la kuponea kifo baada ya kumuibia mwanajeshi.