Duration 1500

ELECTRIC FENCE - FENSI YA UMEME

11 075 watched
0
14
Published 10 Sep 2020

🔴 ELECTRIC FENCE. 🔺Kwa huduma nzuri za kuwekewa ELECTRIC FENCE kwenye eneo lako, Fundi umeme Tz ndiyo tutakaokufanikishia hii huduma. 🔺Fence hizi ni imara na na bora kwa usalama wako na familia yako na mali zako , 🔺Imarisha ulinzi wa eneo lako sasa 🔺Gharama ya fence hii ni Tsh. 22, 000/= tu kwa mita moja, ambapo itajumlisha gharama ya vifaa na ufundi 🔺Jihakikishie usalama wako na eneo lako kwa kuweka electric fence, pia unaweza ukaweka na CCTV cameras ili kudhibiti kabisa uhalifu wa aina yoyote ile. ➡️KARIBU SANA KWA KAZI BORA NA YENYE UFANISI 0710201330 TUPO MBEZI BEACH

Category

Show more

Comments - 1