Umewahi kusikia kuhusu "kubemenda mtoto"? Je, ni imani au ni hali iliyopo kisayansi?
Mtoto anayedhaniwa kubemendwa anakuwaje? Nini kinapaswa kufanyika ili kumsaidia mtoto aina hiyo?
Fuatilia haya yote ne mengine mengi kwenye kipindi hiki cha MEDICOUNTER ambapo Dafrosa Prosper anazungumza na daktari bingwa wa magonjwa ya watoto Moses Karashani.