🔴#LIVE: RAIS SAMIA AWAJIBU WANAOULIZA KAMA MWANAMKE ATAWEZA KUWA RAIS - "ALIYESIMAMA HAPA NI RAIS"
MWILI wa Hayati John Pombe Magufuli, umewasili Dodoma ambapo leo Machi 22 utaagwa kitaifa jijini humo, ambapo Marais na Viongozi wa kutoka nchi mbalimbali watashiriki zoezi la kutoa heshima zao za mwisho kwa shujaa huyo wa Afrika...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
@mathewtwimanye923 years agoHotuba nzuri sana inayowarudishia watz wengi Wazarendo lmani, sasa nazani Tutavuka 15
@
@deniskkirindo30183 years agoTumepata pigo ila mwenyezi Mungu atakuwanasi. Mungu akutie nguvu Rais na mama yetu mpendwa. Mama wa taifa kwa sasa. 9
@
@mathewtwimanye923 years agoSalamu ya kwanza kwa mafisadi na mabeberu, huyo ni magufuri ktk sura na mavazi mengine,shughuri ipo pale big up mama kweli umeiva 11
@
@ashamwandu65723 years agoMama mungu akupe Afya njema,akulinde na wabaya wote akupe hekma,akupe huruma na akupe maisha marefu, 5
@
@adilavuai75333 years agoPole sana mhe. Mama Rais...Allah akuzidishie subra na busara katika kutuongoza... 5
@
@kingsuleiman72013 years agoMungu akutangulie mama yetu katika majukumu hayo ya kuliongoza taifa na kuomba utetee wanyonge ka hayati magufuli Amin. 5
@
@shabanihassan66263 years agoMsiba ni wetu sote wa rais wetu mpendwa mwenye maono makubwa mno,pole mama na rais wetu wa Tanzania,mungu yupo nawe mama. 2
@
@florianemrema57423 years agoNi vigumu kukabiliana na ukweli huu, Mungu yuko nawe mama mheshimiwa 13
@
@catherinejohn51573 years agoNimekupenda sana hongera sana mama samia 5
@methewmathayo75483 years agoNdoto yangu makam wa rais awe agrey mwanri mzee wa sukuma ndani wanaopenda mzee wa toronto weka like nilikuwa nachomekea 1
@
@mireilleirakoze6023 years agoAsante sana mama kuwatia moyo wana wako 4
@
@rutakihama35233 years agoAiseee saifi sanaaa kipenzi chetu mwenyezi mungu akupenguvu 2
@
@claudinemaxime9363 years agoThe Iron Lady,,, Mama Samia, Rais wa Taifa, go! Tuna imani nawe,,, 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 3
@
@favourzahor28743 years agoI wish all the best mama... Love frm 🇰🇪 7
@
@florianemrema57423 years agoMatokeo na si visingizio na lawama !!! Asante mama 2
@
@highonebalo82893 years agoNaumia lakini ninamwamini Mungu mwenye hatima iliyotukuka kwa nchi yetu. Mommy Samia nakupenda na Mimi pamoja na WATANZANIA WENYE MAPENZI MEMA NA NCHI YETU TUNAKUOMBEA MUNGU AKUONGOZE MAMA YETU. NINA AMANI NA WEWE. ...6
@
@allykinyaga73843 years agoMioyo yetu imekukubali nina Imani kwa uweza wa Allah utatuongoza mama MUNGU akupe afya njema wewe na familia yako ili kila siku utuwazie mema wananchi wako 5
@
@alafsakisinda48863 years agoAsante mama samia suruhu Rais wa tanzania mwanamke shupavu hotuba yako ni nzuri
@
@mwadiabulymoshabani63363 years agoMimi ninakuomba Raisi wa Tanzania Mama. Jitahidi kufata njia za Jemedari kipenzi Cha watu. 3
@
@janethmpinge89833 years agoAllah akuongoze utuongoze kadri ya mapenz yake 3
@
@bernardkisinini41813 years agoMungu akutie nguvu Raising wetu mama samia
@
@highonebalo82893 years agoJamani watu wa camera si mtuoneshe huyo Jemedari kidogo tu? Hatulaumu kwa nini hakuletwa kaskazini. Nakubaliana na ratiba ilivyopangwa. Ila sasa! hata kwenye camera tu? Pliiiiiz! 3
@
@ashamaggimba7473 years agoAllah akupe ujasiri na hekima katika utendaji wako uendeleze pale alipoachia
@
@trice27213 years agoHongera mama tunakuombea Mungu akutangulie katika kazi zako na akucmamie
@
@happynesslyimo29073 years agoNina imani na wewe mama,wewe ndio yoshua 2
@
@rachelgerald24003 years agoMungu akutie nguvu mama yetu raic wetu ameen
@
@maryrubunga65043 years agoViongozi na wanaoongozwa tumpe Mama ushirikiano tukimtanguliza mungu na kujituma bila kuwa vikwazo katika wajibu kila mtanzania kwa nafasi yake 1
@
@lovelytwins91593 years agoMama yetu kipenzi chetu uko imara sana, kutumbua kusiishe ukiona jibu usiliache tumbua kabisa usaha wooote uishe 5
@teddyoscar68763 years agoYes CCM haswa, Rais badirisha namba yako ya simu kabisa kwani Lisu amesema atakupigia simu, mshenzi Lisu usipokee simu yake kwani anamuongealea mpendwa wetu Magufuli vibaya na kusema amekufa na Corona, ulaya na kote duniani ndio wanaamini hivyo, Lisu amefurahi sana kifo cha Magufuli 🥺😞 ...9
@
@alikarisa3 years agoNakuaminia Mama Na nataraji mwendo utakuwa Ni ule bila chenga. Aliyo kuwa akiyafanya JPM yalifaa kufanywa Na Muslim. So yakubidi Mama Uwe Zaidi Ya JPM 2
@
@dionisyrichard34773 years agoMama we unajua njia uliopitia mpaka kufika hapo watanzania tupendao amani na maendeleo piga kazi
@
@saheedali74673 years agoTanzania iko salama ulitamka ulipokua tanga ulipo rudi dar ukatangaza kifo cha boss wako. Naleo unasema Tanzania iko salama Tena. Tuone.
Related videos for LIVE: RAIS SAMIA AWAJIBU WANAOULIZA KAMA MWANAMKE ATAWEZA KUWA RAIS - ALIYESIMAMA HAPA NI RAIS:
Mama wa taifa kwa sasa. 9
Mommy Samia nakupenda na Mimi pamoja na WATANZANIA WENYE MAPENZI MEMA NA NCHI YETU TUNAKUOMBEA MUNGU AKUONGOZE MAMA YETU.
NINA AMANI NA WEWE. ... 6
Hatulaumu kwa nini hakuletwa kaskazini.
Nakubaliana na ratiba ilivyopangwa.
Ila sasa! hata kwenye camera tu? Pliiiiiz! 3